Wednesday, February 23, 2011

MY Dady Birthday

 Baba na mama (Wazazi hao). mama kazika pozi wakati wa birthday ya mmewe alipotimiza miaka 81, can you imagine jamani. wakati sisi sasa hivi tunakufa vijana wadogowadogo... nazidi kumuombea baba yangu azidi kuishi maisha mengine marefu zaidi.

 Familia na majirani katika sherehe ya mazi jamani.mama kwa pembeni upande wa kulia akifuatiwa na wakwe zake, na akifuatiwa na braza jamani/ anaefuata ni jirani waribu sana na wengineo.

 Likeki hiloooooooooooo, na yale mambo yetu mmmmmmmmmmmmmmmmh!... ilinoga jamani.
japo kalikuwa kasmall function lakini ilifurahisha kwa kweli.


wazazi na mwanao mkubwa kidogo sio mkubwa snaa, nadhani mmenielewa nilichomaanisha.


 Wazazi na mkweo jamano!.








Hi to all, poleni jamani kwa kimya kirefu... i was a bit busy dats y hata kuingia kuwablogisha ikawa ngumu kidogo... bt am free now

No comments:

Post a Comment