Friday, May 20, 2011

BREAKING NEEEEEEWZ!.... SHEHE YAHYA HATUPO NAYE TENA



Kwa taarifa zilizotufikia mchana huu ni kwamba, Mtabiri mahiri na maarufu aliyewahi kutabiri katika uchaguzi mkuu wa mwaka jana kuwa kiongozi mkubwa angefariki dunia kabla ya uchaguzi na kweli alifariki mgombea mwenza wa chama cha chadema. Amefariki dunia

Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi maana hakika tutamkumbuka kwa utabiri wake maana pia aliwahi kutabiri mambo mengi sana ikiwemo ya Simba kufungwa na Yanga na kweli ilikuwa hivyo.

MAY GOD REST HIM IN PEACE... AMEN

No comments:

Post a Comment