Thursday, May 26, 2011

Lima Limited Mbinga



Hii kama inavyoonekana ni ofisi la Lima Limited Mbinga, Kampuni ya kununua kahawa, kwa chini ni ofisi na juu ni vyumba wanavyolala wafanyakazi wanaofanya kazi katika kampuni hii.
Camera yangu iliniishia charge na bahati mbaya sikutembea na charger hivyo sikuweza kupiga picha nyingi zaidi.


Nje ya ofisi kuna uwanja mkubwa sana pamoja na kiwanda kwa pembeni, ila nawaahidi next time nikienda nitapiga picha za kiwandani kwenye vichanja ili muweze kuona mambo ya kahawa yanatokana na nini, hayo muyaonayi ni magali mali ya Lima Limited, ya kusombelea kahawa.



Kahawa kama mnavyoiona.



Ila bado haijaiva lakini ndio inaelekea kuiva. na ikiiva inakuwa nyekundu kabisa.


No comments:

Post a Comment