Saturday, June 11, 2011

BHOKE BBA.

Huyu mtoto jamani yani hata mshipa wa aibu hana kabisa kabisa, halafu eti anasema haregret hata kidogo aliyoyafanya kwani BBA alienda kujiwakilisha mwenyewe na wala hakuenda kumuwakilisha mtu. Mmmmmmmmmmh!... Tuwe na aibu jamani, kweli huyu mtoto kashindikana... Bhoke umetuaibisha sana, Wakurya andamaneni!...


No comments:

Post a Comment